Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye Whatsapp utafungiwa akaunti yako siku yoyote jihadhari ??

Mambo ya Kuangalia kwenye WhatsApp

Mambo ya Kuangalia kwenye WhatsApp

💠 Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye WhatsApp utafungiwa akaunti yako siku yoyote jihadhari!

1️⃣ Kutumia WhatsApp Mods

  • Mtu yeyote anayetumia WhatsApp mods jihadhari kama vile WhatsApp GB, FM n.k. unaweza kufungiwa na kufutiwa akaunti yako muda wowote.
    • Ukitumia WhatsApp GB, utakuwa na uwezo wa kupost status mpaka ya dakika 5, kutuma files kubwa kubwa, kuchukua status za wenzako na nk lakini WhatsApp watakufungia muda wowote.
    • Program nyingi za WhatsApp mods zina usalama mdogo, hivyo ni rahisi mtu kudukuliwa kupitia link anazotumiwa.
  • 2️⃣ Kutuma Maudhui ya Kuogopesha na Kutisha

  • Jihadhari sana wakati unatumia WhatsApp na vitu unavyotuma kwenye group au chati zako. Unaweza kufungiwa akaunti yako kwa muda au moja kwa moja.
    • Kuna baadhi ya picha, videos, documents unazotuma kwa watu kama sio salama WhatsApp wanaweza kukufungia akaunti yako na kuifuta kabisa.
  • 3️⃣ Watu Kukuripoti Mara kwa Mara

  • Ikiwa kikundi cha watu kadhaa kikaku-repoti juu ya tabia yako kwenye WhatsApp, unaweza kufungiwa akaunti yako.
    • Kupiga block kwa watu wengi pia ni njia moja ya kufungiwa akaunti yako.
  • 4️⃣ Kutumia WhatsApp kwa Ajili ya Ku-Hack

  • Kuna njia ya ku-hack akaunti za watu kupitia phishing techniques ya link kupitia WhatsApp. Hii inaweza kupelekea akaunti yako kufungiwa.
  • 5️⃣ Sending Spam

  • Kutuma message moja kwa namba nyingi pia ni kero. WhatsApp wanaweza kukufungia akaunti yako.
    • Kutengeneza ma groups mengi ya WhatsApp kuna limit, jihadhari.
  • 🔻 Jihadhari sana kutumia WhatsApp mods, sio salama kwako na ni rahisi kufungiwa akaunti yako. 🔺

    🔷 Asanteni 👍

    👺 It's for education purposes only. ⚠️

    🚩 Share and Support. 🏁

    🔺 @brvamelan 🔺

    🔻 @vamelan_tech 🔻

    1 Comments

    Previous Post Next Post