TRICKS ZA WHATSAPP🔥


 TRICKS ZA WHATSAPP🔥


Tricks za Whatsapp zipo Tano kwa sita 👇

1. (*)

2. (1.)

3. ( _ )4.          ( ~ )

5. (**)

6. (/ )

   

jinsi zinavo tumika👇

1. (*)👈 ukiandika katika keyboard Yako ya Whatsapp alfu akaacha na fasi inageuka na kua kidoto (.) mfano

* Hhhhhjjjjggv

* Hhhhhjjj

* Bbbbbn

* Hhhhhj

👆Ivo unaweka nyota unaruka nafasi inakuwa kidoto na ukiruka inakuja kama ivo list🙏

2. (1.) 👈 Iyo Moja na kidoto ukiandika katika keyboard Yako alfu ukaacha nafasi mfano

1. Hhhhhjjjj

2. Ssggssjshsg

3. Gdhhdjjdh

👆ivo (1.) unaacha nafasi Kisha ukisha andika sms yako Moja ruka itakuja namba mbili 👉(2.).....  itakuja nyenyew bila ww kuweka 🙏

3. ( _ )👈 Hiyo alama ukiandika katika keyboard Yako mwanzo wa sms na mwisho wa sms herufi Zina lala mfano

hahauaua

hhahahha

jjahshhsj

👆ivo usiache msitari, andika sms yako mwanzo ukiwa ushaweka alama iyo mwisho wa sms utaweka Tena alama zitalala kama ivo🤛

4. ( ~ )👈 Hii alama ukiandika mwanzo wa SMS Yako weka iyo alama~ na mwisho basi iyo sms itajipiga mstari kati mfano

hhahahha

hahaagag

shhsgzjzu

👆ivo usiache msitari, andika sms yako mwanzo ukiwa ushaweka alama iyo mwisho wa sms utaweka Tena alama zitalala jipiga msitari🙏

5. (**)👈 Izo nyota mbili ukiandika katika keyboard Yako, mwanzo wa sms uwateka nyota 1 na mwisho wa sms uwateka nyota ya 2 na sms Yako itakua imekoza mfano

Hhhhdhd

Hhshdhd

(Gddghd

👆Ivo andika nyota mwanzo wa sms na utamalizia nyota ya 2 mwisho wa sms 🙏

6. ( / )👈 Iyo alama inafanya kazi kwenye Whatsapp bisssnes, iyo alama / ukibonyeza kina kuja kitu Kunaitwa 

"Quick Replies" kutakua na vitu vya biashara Yako kama bisssnes profile,  address, thanks na  hours 🙏


Zingatia ivi vitu kuruka na kuacha nafasi📌



fanya uone mwenyewe ina kua 💪


#bright life with us 


Join for more updates

Post a Comment

Previous Post Next Post