TikTok imerejea na kuanza kurudisha huduma zake nchini Marekani baada TikTok imerejea na kuanza kurudisha huduma zake nchini Marekani

TikTok imerejea na kuanza kurudisha huduma zake nchini Marekani baada TikTok imerejea na kuanza kurudisha huduma zake nchini Marekani baada ya Rais Mteule Donald Trump kuruhusu app hiyo kuendelea kufanya kazi Marekani. ya Rais Mteule Donald Trump kuruhusu app hiyo kuendelea kufanya kazi Marekani.
TikTok ilikuwa imeacha kufanya kazi kwa watumiaji wa Marekani kutokana na sheria iliyopiga marufuku app hiyo. Trump amesema atatafuta suluhisho la kuirudisha TikTok, ikiwemo uwezekano wa kushirikiana na kampuni za Marekani. Kwa sasa, TikTok imerudi na inaendelea kufanya kazi kwa watumiaji wa Marekani. Join for more CLICK HERE TO JOIN Cc @brvamelan

Post a Comment

Previous Post Next Post