𝐋𝐄𝐎 𝐓𝐔𝐎𝐍𝐄 𝐉𝐈𝐍𝐒𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐔𝐌𝐈𝐀 𝐅𝐀𝐂𝐄𝐁𝐎𝐎𝐊 𝐁𝐔𝐑𝐄 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐁𝐀𝐍𝐃𝐎

Facebook Bure kwa Halotel

Facebook Bure kwa Halotel

Jinsi ya kutumia Facebook bila kutumia data

Habar za muda huu members wangu, japo hamtaki kushare link wala kureact 😒, but still tuna keep pushing forward.

𝐌𝐒𝐈𝐒𝐀𝐇𝐀𝐔 𝐊𝐔𝐑𝐄𝐀𝐂𝐓 𝐒𝐀𝐒𝐀

Ili kutumia Facebook Bure, inabidi uwe na:

  • Lain ya Halotel 😁
  • Uwe na Facebook Lite

Pakua Facebook Lite

📌 Huduma hii ni kwa lain za Halotel tuuuu. Kama una Facebook ya kawaida, utatumia data kama kawaida.

Jinsi ya KUSET:

  1. Juu kabisa utaona neno Switch Mode.
  2. Utabonyeza kutoka Data Mode kwenda Basic Mode.

Kwa msaada zaidi DM 👉 +255693585988

🧠 “© vamelan_tech”

Post a Comment

Previous Post Next Post