Aina za Mashambulizi ya Kihacker Unazopaswa Kuzifahamu

Aina za Mashambulizi ya Kihacker Unazopaswa Kuzifahamu

🔥 Aina za Mashambulizi ya Kihacker Unazopaswa Kuzifahamu 🔥

1️⃣ Spyware 🕵️‍♂️💻

Hizi ni malware zinazotumika kupeleleza vifaa vya wahanga. Mfano ni Spy App inayoweza kufuatilia simu ya mtu.

🌍 Website yao

2️⃣ Phishing 🎣📩

Hii ni mbinu ya kudanganya watu kutoa taarifa zao binafsi kupitia links bandia.

3️⃣ Screen Control / RAT 🖥️🔴

Hacker anaweza kudhibiti simu au kompyuta yako na kuona kila unachofanya.

4️⃣ WiFi Attacks 📶💀

Hackers hutengeneza WiFi bandia ambazo zikitumika huleta madhara kwenye kifaa chako.

5️⃣ Malicious Apps 📱☠️

Apps zenye madhara zinaweza kupeleleza, kuharibu simu au kudai malipo ili ufunguliwe data zako.

6️⃣ Ads Clicking Attacks 🎯🚨

Epuka kubonyeza matangazo ya ajabu kwani yanaweza kukupeleka kwenye tovuti za hatari.

7️⃣ Email Attacks 📧⚠️

Hackers hutuma email za udanganyifu zenye malware au phishing links.

🚨 Jilinde kwa tahadhari hizi:

  • ✅ Usibofye links usizozijua
  • ✅ Tumia antivirus bora
  • ✅ Usiunganishe kwenye WiFi za bure bila uhakika
  • ✅ Weka two-factor authentication (2FA)
  • ✅ Usidownload apps nje ya Play Store au App Store
👉 Share na wengine ili nao wajifunze! 🔥
: Jiunge na Channel Yetu
WhatsApp Icon

Jiunge na Channel Yetu!

Pata taarifa mpya na matangazo moja kwa moja kwenye WhatsApp.

Jiunge Sasa

Post a Comment

Previous Post Next Post